![]() |
Ukwamani Jogging Club wakiwa katika picha ya pamoja |
Wakati huo huo Jumapili iliyopita wana Jogging kutoka maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam walionyesha umoja wa hali ya juu baada ya kuhudhuria katika msiba wa mwana jogging mwenzao Amina Maarufu kama Herena Michael aliyefariki baada ya kugongwa na gari wakati akiwa na wenzake katika mazoezi ya kukimbia kutoka Mwananyamala kwa Kopa kwenda Coco Beach.
katika ajali wengine walinururika na wengine ni majeruhi akiwemo Maliki Doza aliye vunjika Kiuno, Taya na amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili, na Mwingine ni Mkuye ambaye alivunjika Miguu na kuwekewa Vyuma, Amina Bonge aliyepgwa kioo cha site mirel ya gari hilo ambao hao ameruhusiwa.
miongoni mwa wana Jogging hao waliohudhuria katika msiba ni pamoja Ukwamani Jogging Club kutoka Kawe, Temeke kata ya 14, Msasani Joongging, Musfini Jogging, Vegas Jogging, Mwananyamala Jogging,
Kunduchi Jogging, na nyinginezo.
![]() | |||||
wakazi kutoka sehemu mbalimbali wakimzika Herena Michael |
PICHA NA MWANNE OTHMAN KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine