MAJARIBIO BLOG

Tuesday, September 30, 2014

#2014 DANCE MIA FAINALI JUMAMOSI HII

Na Mwanne Othman

East Africa Televisheni pamoja na east africa radio waanakuletea Fainali ya mashindano makubwa ya kucheza Dance 100 nchini Tanzania yatakayorindima jumamosi hii katika viwanja vya Donboscow Osterbay jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo ambayo yamedhaminiwa na mtandao wa simu za mkononi  Vodacom,  yatakutanisha makundi matano yaliyoingia kwenye Fainali mshindi ataondoka na Mil. 5 na hayana kiingilio

tazama picha za mashidano hayo yanavyokuwa.

wavijna wakifanya yao

vijana wakiwajibika

kibanda cha majaji



No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine