MAJARIBIO BLOG

Tuesday, November 25, 2014

DIAMOND PLATNUMZ - HAJISKII WALA HAJISHAUWI HATA MWANANYAMALA WANALIJUA JILO

akiwa na mtangazaji wa taarab east africa radio
Diamond Platnumz alipokuja kutambulisha wimbo wake mpya wa ntampata wapi ilikuwa ndani ya Powerjam ya Anna Peter, Sam Misago na Mami katika kituo chenye hadhi hapa naizungumzia east africa radio, To be Honest namkubali saaaaaana mwenyewe anajua kila la kheri kaka.



Thursday, October 2, 2014

KITCHEN PARTY MTOTO WA SIZYA MAZONGELA





PICHA ZA MATUKIO DANCE 100 HATUA ZA AWALI 2014

Na Mwanne Othman

#2014 Dance 100 ni JUMAMOSI HII SI YA KUKOSA NJOO WEWE NA YULE TUWEKE HISTORIA
MAKUNDI MATANO KUSHINDANIA MILIONI AMBAPO KUNDI MOJA TU NDO LITACHUKUA MZIGO WA MIL. 5, DON BOSCOW OSTERBAY

MAKUNDI YAKIWA NA JUDGES WAO NYAMWELA NA QEEN DALIN




Tuesday, September 30, 2014

tazama picha za siku ya ndoa sasa









USIKU WA WA VYOMBO MWANANGU PAMBEEEE MTOTO WA KAKA



























NYUMBANI KWA ISHA TUKIJIANDAA KWENDA KWENYE SINGO

tukijiandaa kwenda kwenye Singo Tabatanyumbani kwa Mc Jojo wari wake mtoto wa Sizya Maongela na Mtoto wa Maamaa macheni











#2014 DANCE MIA FAINALI JUMAMOSI HII

Na Mwanne Othman

East Africa Televisheni pamoja na east africa radio waanakuletea Fainali ya mashindano makubwa ya kucheza Dance 100 nchini Tanzania yatakayorindima jumamosi hii katika viwanja vya Donboscow Osterbay jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo ambayo yamedhaminiwa na mtandao wa simu za mkononi  Vodacom,  yatakutanisha makundi matano yaliyoingia kwenye Fainali mshindi ataondoka na Mil. 5 na hayana kiingilio

tazama picha za mashidano hayo yanavyokuwa.

wavijna wakifanya yao

vijana wakiwajibika

kibanda cha majaji