BI KIDUDE AENDELEA VIZURI HOSPITALI
Msanii nguli wa muziki wa taarab Fatma Baraka maarufu Bi Kidude imeelezwa kuwa hali yake inaendea vizuri huko alikolazwa katika hospitali ya Hindu mandali iliyopo jijini Dar es Salaaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa kundi Jahazi Morden Taara Mfalme Mzee Yussuf ambaye pia ni mjukuu wa Bi Kidude alisema hali yake inaendelea vizuri na jana (Alhamisi) alitoka kufanyiwa vipimo hivyo ataendelea kuwepi Hospitalini hapo mpaka pale hali yake itakapokuwa nzuri zaidi.
Mfalme akizungumza kuhusu kama anazungumza alisema kuwa hajapewa nafasi ya kuzungumza kutokana na hali inahitaka kupata mapumziko zaidi hivyo kumzuia kuongea.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine