Msanii wa tasnia ya filamu nchini Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki afariki Duania asubuhi ya leo katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.kwa mujibu wa east africa radio ya 88.1 fm, msanii huyo ambaye alikuwa akisumbuliwa na
matatizo uikiwamo ya figo zake kushindwa kufanya kazi ipasavyo, uvimbe
alifariki dunia asubuh ya leo katika hospitali hiyo ambapo ndipo
alipokuwa amelazwa.
 |
Sajuki akiwa nyumbani kwake na Mkewe Wastara Juma |
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine