MAJARIBIO BLOG
HOME
CONTACT US
Wednesday, February 13, 2013
MSANII TMK HALISI AFARIKI DUNIA
Msanii kundi la muziki la TMK Wanaume halise lenye maskani yake Temeke aliyejulikana kwa jina la BK, afariki dunia.
kwa mujibu wa kipindi cha powerjams kinchorushwa east africa radio BK aling'ara kupitia wimbo wa Ndege tunduni na Tatu bila.
Msanii BK mwenye kofia akishooo love enzi za uhai wake, Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine