MAJARIBIO BLOG

Wednesday, April 16, 2014

HASARA ZA MVUA JANGWANI



Kambi ya Kampuni ya holtan iliyoko katika eneo la Jangwani iliyopewa tenda ya kutengeneza vituo vya mradi wa mabasi yaendayo kasi imepatwa na hasara kubwa kwa upotevu mali zilizokwenda na maji baada ya Mvua kubwa zilizonyesha.

Wakizungumza na East Africa Drive wahusika wa mradi huo ambaye mmoja yeye ni msimamizi wa mradi anayefahamika kwa jina la ndugu: Jamal na Injinia George Ocheni ambaye yeye ni Meneja Mradi, walisema kutokana na maafa hayo yaliyotokea kuna uwezekano mkubwa wa shuhuli za ujenzi wa vituo hivyo vikapungua kutokana kwa sasa wapo katika hatua ya kuokoa mali zilizosalia.




No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine