MAJARIBIO BLOG

Wednesday, April 16, 2014

ANAYEDAIWA KUJIFANYA FUNDI WA TANESCO ANASWA

Na Mwanne Othman

Jeshi la Polisi limamshikilia ndugu Godfrey Mjaka mwenye umri wa miaka 49, mkazi wa Mtoni Kijichi fundi Umeme wa kujitegemea kwa kosa la utapeli ambapo alifika katika nyumba moja iliyopo maeneo ya Mlimani City akidai ni mfanyakazi wa Tanesco akimtuhumu mwenye nyumba hiyo amejiunganishia umeme kiholela.

Akizungumza na East Africa Drive Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kinondoni Kimola Ernest alisema mtuhumiwa huyo alikuwa na wenzake watatu ambapo baada ya kugundulika si wafanyakazi wa Tanesco ndipo wenzake walifanikiwa kukimbia.

Mtazame katika picha tofauti mtuhumiwa huyo












huyu wa kwanzaa mnene mweusi. tena ana rava 4 ya silver


No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine