MAJARIBIO BLOG

Thursday, May 22, 2014

PICHA MBALI MBALI ZA WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEM ADAM KUAMBIANA

PICHA ZOTE NA MWANNE OTHMAN KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI.
Mh. Diwani wa Ubungo mwenye suti nyeusi akiwa na mmoja wa waombolezaji

gari lenye mwili wa marehemu ukiwasili


Mke wa warehemu ADAM, Mh. Janeh Rite wa Kunduchi mwenye mtandio mwekundu

Dokii na waombolezaji wengine wakilia kwa uchungu

Batuli na Johari wakilia kwa masikitiko makubwaa

Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh.Fenera Mkangara akizungumza kwenye maombolezo hayo

Hapa akikisitiza jambo

Mstahiki Meya wa Kinondoni Yussuf Mwenda nae akinena jambo


Hapa wakijiandaa kuaga mwili wa marehemu

Hapa tayari kwa kuagwa

Mh. Waziri Fenera Akiaga mwili wa marehem


No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine