Usikose kusikiliza Tam Tam za Mwambao kipindi cha taarab kinachokujia kila siku za Jumapili kuanzia saa 4 hadi saa 6 mchana ndani ya east africa radio ukiwa na Mwanne Bint Othman aka toto la Matashtit.
 |
MWANNE TOTO LA MATASHTIT AKIFANYA YAKE |
Hapo utapata kusikia nyimbo za taarab ya zamani katika kipengele cha 'TUNAKUMBUKA ZAMANIII'.
 |
MWIMBAJI WA TAARAB ASILIA KUTOKA ZANZIBAR MOHAMMED ILYAS |
 |
UKIUSIKIA MUHOGO WA JANG'OMBE HUTOKOSA KUMTAJA MAREHEMU BI FATMA BINT BARAKA MAARUFU BI KIDUDE |
Lakini pia katika Kipengengele cha Afya utamkuta mtaalam wa magonjwa ya mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanaume kutoka Foreplan Clinic hapa namzungumzia Dr. Mwaka akitupatia ushauri wa jinsi gani ya kujikinga na magonjwa mbalimbali, na kutufahamisha kuwa nini sababu za magonjwa hayo, dalili pia, kinga na maana ya magonjwa mbalimbali.
 |
DR. MWAKA AKISISITIZA JAMBO |
Bila Kusahau katika KIJAMVINI hapa utasikia habari mbalimbali kuhusiana na wasanii wa taarab aidha udaku au za kimaendeleo.
Lakini pia Bila kusahau Bandika Bandua ya Muziki huo wa taarab hapo ni kuachia bodi, kidole kwenda kwa mbele
 |
MASHAUZI CLASSIC WAKIWA STEJINI |
|
|
|
|
|
|
 |
EAST AFRICA MELODY WAKIWA STEJINI |
 |
JAHAZI WAKIWA STEJINI |
 |
DAR MORDEN WAKIWA MAZOEZINI WALIPOKUWA WAKIJIANDAA NA UZINDUZI WAO ULIOPITA |
 |
FUNGA KAZI |
 |
T MOTO NDANI YA STEJI |
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine