Na Mwanne Othman
Mbunge wa Chalinze Mh.
Ridhwani Jakaya Kikwete amekiri kuwaita baadhi ya waandishi wa habari
ni makanjanja na kusisitiza kutowaomba radhi waandishi juu kauli
hiyo, na kuiomba tasnia ya habari kuitumia kalamu yao katika kuandika
habari zenye uhakika na si kuitumia kama kisu ama bunduki kutisha
watu.
Mh. Ridhwani ameyasema
hayo alipokuwa akizungumzi kauli aliyoitoa hivi karibuni kwenye moja
ya mahafali yaliyofanyika huko Morogoro ya kusema kwamba kuna baadhi
ya waandishi wengine wa habari wana tabia ya ukanjanja.
![]() |
Mh Ridhwani akiwa katika shuhukli zake za kiserikali |
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine