MAJARIBIO BLOG

Tuesday, September 30, 2014

RASIMU YA TATU YA KATIBA YAPIGIWA KURA WAJUMBE

Na Mwanne Othman

Wajumbe wa Bunge maalum la Katiba linaloendelea mjini Dodoma bado wanaendelea kuipigia kura rasimu ya katiba mpya, zoezi lililoanza jana kwa kupigia kura sura 19 zenye Ibara 289 ambapo walianza kwa kupigia kura sura 10 zenye ibara 157 huku leo wakimalizia sura 9 zenye ibara kuanzia 158 hadi 289, kwa kutumia mtindo wa kura ya wazi na siri.
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WALIOKO MJIN I DODOMA

No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine