MAJARIBIO BLOG

Thursday, July 18, 2013

PICHA MBALIMBA ZA MSIBA WA JUMA MGUNDA NYUMBANI KWAO TANDIKA

Baadhi ya wasanii wa Jahazi waliohudhuria katika Msiba wa Juma Mgunda

m

Mpiga base wa Jahazi Musa Baba Warda kushoto akiwa na ndugu wa marehemu Juma, anayejulikana kama Mgeni Kisoda ambaye pia ni mpiga Kinanda wam Jahazi

Mpiga Kinanda wa Jahazi Babuali mwenye fulana nyeusi

Mpiga kinanda Mkuu wa Jahazi Chid Boy

Msani wa Maigizo Bi Rehema naye alikuwepo

Mtoto wa kwanza wa Marehemu anaitwa Sharkan Juma Mgunda

Mtoto wa pili na wa mwisho wa marehemu anaitwa Shadrak Juma Mgunda

Mpiga Base maarufu Musa Mipango

Mtangazaji wa Kipindi cha Taarab cha Tam Tam za Mwambao cha east africa Radio na EATV Mwanne Othman akimuhoji mpiga kinanda namba moja wa Jahazi Chid Boy

Muimbaji wa Jahazi Rahma Machupa


wapiga base hawa watu wengi wana wachanganya majina yao wote wanapiga base Jahazi kushoto ni Musa base Babaa Warda na kulia ni Musa Base Babaa Salum

 Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya sanduku tayari kwa kusafirishwa Mkamba huku wakijiandaa kuuswalia
 Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya sanduku tayari kwa kusafirishwa Mkamba huku wakijiandaa kuuswalia


 Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya sanduku tayari kwa kusafirishwa Mkamba huku wakijiandaa kuuswalia



baadhi ya wasanii wa Jahazi waliohudhuria kwenye msiba












 Mtangazaji wa Kipindi cha Taarab cha Tam Tam za Mwambao cha east africa Radio na EATV Mwanne Othman akimuhoji mpiga kinanda namba moja wa Jahazi Chid Boy


No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine