Mwimbaji wa Muziki wa Taarab Hassan
Ally hatimaye afunguka kuhusiana na yeye kuitwa shoga na
wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga waliopo Kariakoo,
kitendo ambacho kilisababisha vurugu za hapa na pale kutokea. Wiki
mbili zilizopita.
Kwa taarifa zaidi sikiliza Tam Tam za Mwambao na Mwanne Bint Othman Jumapili hii ya tarehe 22 kuanzia saa 4 asb hadi 6 mchana east Africa Radio Together Tunawakilisha
![]() |
Hassan Ally akiwa Studio akirikod wakati akiwa na kundi la Tanzania Moto Morden Taarab chini ya Ukurugenzi wake Amini Salmini |
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine