MAJARIBIO BLOG

Sunday, December 22, 2013

UONGOZI WA YANGA WATOA TAMKO KWA WAZEE WAO

Uongozi wa Yanga wapinga Tamko la Wazee wa Klabu hiyo kutokana na kutokuwa na imani na Kipa Juma Kaseja na kuwataka wazee hao kutoa ushauri na kuacha mara moja kuingilia mambo ya Timu hiyo, na wao kama Uongozi wana iman na Kaseja na wamemsajili si tu kuifunga Simba bali wao wameangalia Kimataifa zaidi.

Tamko hilo limetokana na jana wazee hao kutoa kauli ya kuitisha kikao siku ya pili baada ya mechi ya Simba na Yanga iliyomalizika kwa Yanga kufungwa mabao bao 3-1 ambapo miongoni mwa mabao hayo mija Juma Kaseja ambaye ndiye aliyekuwa mlinda mlango kujifunga mwenyewe.

hivyo wakati wazee hao wakijipanga kutoa kutoa kauli ndipo Uongozi wa Yanga walipoibuka na kusema maneno hayo.
Juma Kaseja akiwa mazoezini
Kaseja akisaini mkataba wa kuitumikia Timu ya Yanga

No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine