MAJARIBIO BLOG

Thursday, March 27, 2014

WAKAAZI JANGWANI WAINGILIA NA MAJI VYUMBANI

Maeneo mengine jijini Dar yaathirika

Na Mwanne Othman

Wakazi jijini Dar es Salaam wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya Magongwa ya Milipuko na kuacha tabia ya utapishaji wa vyoo ambao baadhi ya wakazi hufanya kitendo hicho hususan katika nyakati za Mvua. Mratibu wa magonjwa ya Milipuko katika Manispaa ya bwana Michael Gweba ameiambia Ea Drive, tumsikilize.

Akizungumzia juu ya wafanyabiashara wanaouza bidhaa zao katika mazingira yasiyo salama Kiafya ndugu Bwega alisema.


Kadhalika Tulizungumza na wakazi wa eneo la Jangwani ambao miongoni mwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea usiku wa jana kuamkia leo, na hapa wanazungumzia hali halisi iliyokumba.

Mwa4othman.blogspot.com pia ilizungumza na Msemaji wa Manispaa ya Kinondoni ndugu Sebastian Buhohela ambaye nae kwa upande wake alisema ukarabati wa Miundo mbinu unaoendelea pia huchangia kwa kiasi kikubwa mafuriko kutokana na kufumuliwa kwa njia za kupitishia maji., Tumsikilize

Picha za mbalimbali ya maeneo yaliyoathirika kwa mvua
 




mtangazaji wa east africa radio Mwanne Othman










 



No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine