Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya Mazishi ndugu Kaftany ataanza kuaga kuanzia saa 8 asubuhi katika viwanja vya leaders club na baada ya kumalizika shuhuli za kuagwa atazikwa katika makaburi ya Kinondoni.
Msiba kwa sasa uko Bunju B nyumani kwao na marehemu hivyo watanzania tujitokeze kwa wingi katika kumsindikiza mwenzetu hadi kufika safari yake ya mwisho.
Innalillah wainna ilaihi raajiun.
![]() |
Adam Kuambiana enzi za uhai wake |
No comments:
Post a Comment
Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine