MAJARIBIO BLOG

Friday, May 16, 2014

UKIMWI SASA BASI

Na Mwanne Othman

24/4/2014

TUME ya Taifa ya kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imeandaa Mkakati unaobainisha Vipaumbele vya mwitikio wa udhibiti Ukimwi nchini kwa mwaka 2014 / 2015 hadi 2018 ukiwa na Azma ya kufikia Dira ya Kitaifa na Kimataifa ya Sifuri Tatu.

Akitoa ufafanuzi juu Sifuri tatu Mkurugenzi wa Takwimu TACAIDS Dr. Raphael Kalinga Kalinda amesema ni kutokuwa na Maambukizi Mapya, Vifo vitokanavyo na Ukimwi na Unyanyapaa na Ubaguzi.

Akianisha baadhi ya maeneo 11 ya Vipaumbele hivyo vya mwitikio wa udhibiti wa Ukimwi nchini katika maeneo muhimu ya uwekezaji wa Msingi na Saidizi amesema.








No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine