MAJARIBIO BLOG

Monday, May 19, 2014

MASHAUZI, KIBAO KATA KUWASHA MOTO TRAVELTINE JUNE MOSI

 WAPO - BI AFUA SULEIMA, USTAD MOHAMMED, JUMA BHALO WA TZ, BI SHAKILA,  KANGA MOJA ............

Abbas Shentemba Mzee wa Cash money anakuletea shoo maalum ya kukata na shika itakayobebwa na Kundi zima la Mashauzi Clasic chini ya Ukurugenzi wake Isha Ramadhani itakayofanyika Juni mosi katika Ukumbi wa Traveltine Hotel Magomeni Jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Abbas Shentemba shoo yenye kiingilio cha shilingi elfu 5 tu,  itasindikizwa na wasanii kibao akiwemo Bi Shakira Said, Afua Suleiman Kutoka Gusa gusa, Ustadh Mohammed, Kibao kata, Juma Bhalo wa Tanzania bila kuwasahau kanga Kanga moja wakiwa katika muonekano mpya kabisa.

Shentemba amesema pia kutakuwa na zawadi kwa watu 300 wa mwanzo wataapata bia moja bure  na zawadi la laki moja (100,000) itatolewa na mzee wa Cash Money.

Imedhaminiwa na Airtel, Konyagi, Redd's na Cash Money No Change.

TAZAMA PICHA WASANII WATAKAOKUWEPO JUNE 1, NDANI TA TRAVELTINE HOTEL MAGOMENI

ISHA MASHAUZI AKIWA STEJINI AKIFANYA VITU VYAKE

AFUA SULEIMAN


BI SHAKILA SAID
 

No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine