MAJARIBIO BLOG

Friday, May 16, 2014

MAJAMBAZI WATATU WAAUWAWA MBEYA

Na Mwanne Othman

15/5/2014

Majambazi watatu wameuwa na wananchi wenye hasira kali na wengine wawili kujeruhiwa vibaya huko Mkoani Mbeya wakati wakifanya Jaribio la Utekaji mali tukio lililotokea kijiji cha Mshangamwelu Kata ya Njewe Walaya ya Chunya Mkoani Mbeya katika Barabara ya Mbalini kuelekeaMkwajuni.

Kwa Mujibu wa Kamanda Polisi Mkoani Mbeya KamandaAhmed Msangi alisema tukio hilo lilitokea majira ya usiku ambapo majambazi hao waliokuwa watano waliweka mawe na Magogo barabarani ili kwa lengo la kutaka kukamata magari kwa urahisi ili waweze kufanikiwa kazi yao kwa urahisi.

Kamanda Msangi pia alifahamisha jinsi majambazi wengine wawili walivyoweza kupatika siku ya pili yake wakifanya jaribio la kutoroka eneo hilo ambapo amesema.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi akizungumza na waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani).

No comments:

Post a Comment

Tafadhali Ndugu Msomaji Zingatia Kutumia Maneno mazuri na ya busara kwa Faida ya Wasomaji Wengine